Showing posts with label Siasa. Show all posts
Showing posts with label Siasa. Show all posts
Wednesday, August 22, 2012
Monday, August 13, 2012
MNYIKA AKANUSHA MADAI YA CCM
Katika mitandao ya kijamii kumesambazwa habari zikimnukuu msemaji wa CCM kutoa madai mbalimbali ya uzushi katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu CHADEMA baada ya CHADEMA kuendelea kutekeleza mikakati na mipango yake ya kuwaunganisha watanzania kupitia falsafa ya ‘nguvu ya umma’ katika kuchangia vuguvugu la mabadiliko (M4C) katika maeneo mbalimbali nchini. Nitatoa tamko kamili na kueleza hatua za ziada baada ya kupata taarifa iliyotolewa kwa ukamilifu, hata hivyo kuhusu madai yaliyokwisha sambazwa kwenye mitandao ya kijamii na CCM nachukua fursa hii kutoa kauli ya awali kama ifuatavyo:
Wednesday, August 1, 2012
UKWELI UNAFICHWA TUHUMA ZA RUSHWA BUNGENI - CCM
Wednesday, July 11, 2012
DKT.SLAA ASEMA LIWALO NA LIWE HAWEZI KUHOJIWA NA POLISI
Katibu Mkuu wa wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk Willibrod Slaa amesema hawezi kujipeleka polisi kuhojiwa kutokana na kauli yake kwamba yeye na viongozi wengine wawili wa chama hicho wanatishiwa kuuawa na kigogo mmoja wa Idara ya Usalama wa Taifa, huku akieleza sababu mbili za kugomea wito huo wa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi.Juzi, Dk Nchimbi aliliagiza Jeshi la Polisi kuwahoji viongozi wote wa Chadema waliotoa tuhuma za kutaka kuuawa hata kama wao hawana imani na jeshi hilo.
Tuesday, July 10, 2012
WABUNGE JADILINI HOJA; MNACHUKIZA WANANCHI KWA VIJEMBE MNAVYOTOA
Spika wa Bunge, Anne Makinda.
TUKIWA katika hali ya kutafakari amani ya nchi hii, tumshukuru Mungu
kwani bado anatupenda na tuzidi kumuomba ili atuepushie na mifarakano
yoyote ambayo inaweza kugawa taifa letu.Baada ya kusema hayo nizungumzie bunge letu tukufu linaloendelea kuketi mjini Dodoma katika kikao cha bajeti ya serikali.
Thursday, July 5, 2012
MUUNGANO WAIBUI HOJA NZITO BUNGENI
*Upinzani wataka historia yake iwekwe hadharani *Wadai itasaidia kuwaondoa hofu Watanzania wote
Wednesday, July 4, 2012
MVUTANO BUNGENI CCM, CHADEMA, CUF
'liwalo na liwe' *Mhagama apata wakati mgumu kutuliza malumbano bungeni *Nchemba ahusishwa na ufisadi, Mnyika atakiwa kuthibitisha
Monday, June 25, 2012
SIASA ZA UDINI CCM ZITAIGAWA NCHI
Mbunge wa Moshi Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Philemon Ndesamburo, amesema misingi mibovu ya siasa za udini iliyowekwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), itaigawa nchi na kuleta machafuko.
CUF WATAKA OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ICHUNGUZWE
Chama cha Wananchi (CUF), kimesema kauli aliyotoa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bw. John Tendwa, kuwa atavifuta baadhi ya vyama vya mifukoni, inaudhi na kusikitisha hivyo ofisi yake inapaswa kuchunguzwa.
Saturday, June 23, 2012
WASHIKA MPINI MNAWAHISHA MAZISHI YA CCM KABLA YA 2015
Friday, June 22, 2012
MBOWE:90% YA WABUNGE WAMETUMIA RUSHWA
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Freeman Mbowe amesema aslimia 90 ya wabunge wote wametumia wametumia rushwa kuingia madarakani
Alisema kitendo cha Mbunge wa Bahi mkoani Dodoma Bw. Omari Badwel kukamatwa na rushwa hakihitaji mjadala mpana kwani huo ni utamaduni wa kawaida kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Alisema kitendo cha Mbunge wa Bahi mkoani Dodoma Bw. Omari Badwel kukamatwa na rushwa hakihitaji mjadala mpana kwani huo ni utamaduni wa kawaida kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Thursday, June 21, 2012
SPIKA AWAPA ONYO WABUNGE
Spika wa Bunge, Bi. Anne Makinda jana aliwataka wabunge kujadili bajeti ya serikali kwa uadilifu badala ya kutumia lugha ya matusi na kuanzisha malumbano yasiyo na tija. Bi Makinda aliyasema hayo bunge mjini Dodoma baada ya kumaliza kipindi cha maswali na kusisitiza kuwa, baadhi ya wabunge wamekuwa wakitoa michango isiyohusiana na bajeti.
Wednesday, June 20, 2012
MEMBE AKANUSHA UVUMI WA KUTABILI USHINDI CHADEMA
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe amewatupia kombora rafiki zake wa karibu ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ndio ameanzisha kwa kutabili ushindi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salam jana, Membe alisema kuwa,kuna uvumi uliotokea wakati yeye akiwa safarini kuwa amekitabiria chama cha CHADEMA kuwa mshindi ifikikapo mwaka 2015.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salam jana, Membe alisema kuwa,kuna uvumi uliotokea wakati yeye akiwa safarini kuwa amekitabiria chama cha CHADEMA kuwa mshindi ifikikapo mwaka 2015.
MBATIA AIRUSHIA KOMBORA TAASISI YA AGHA KHAN
Mbunge wa kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, James Mbatia ameitupia kombora Taasisi ya Agha Khan kutokana na kupewa misahama ya kodi tangu Tanzania ilipopata uhuru mwaka 1961.Mbatia alitoa kauli hiyo jana bunge alipokua akichangia hotuba ya bajeti ya serikali ya 2012/13,ambapo alisema ili taifa liendelee ni lazima liangalie misamaha ya holela ya kodi zinazotolewa kwa taasisi binafsi
WANANCHI WANATAKA ZAHANATI
MBUNGE wa jimbo la Kibondo Mkoani Kigoma Bw.Felix Mkosamali ameiita Serikali inayoongozwa na chama chama Mapinduzi kuwa imepararaizi kutoka na kushindwa kuongoza nchi
Akichangia mjadala wa bajeti bungeni Mjini Dododma Mbunge huyo kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi alisema wananchi wanataka zahanati na si kuongeza mikoa mipya na wilaya mpya na kuongeza matumizi ya serikali kwa kununua magari aina ya vx kwa viongozi
Akichangia mjadala wa bajeti bungeni Mjini Dododma Mbunge huyo kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi alisema wananchi wanataka zahanati na si kuongeza mikoa mipya na wilaya mpya na kuongeza matumizi ya serikali kwa kununua magari aina ya vx kwa viongozi
MNYIKA AFUKUZWA BUNGENI BAADA YA KUKATAA KUFUTA KAULI
Mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika akitoka katika ukumbi wa Bunge la Tanzania jana mjini Dodoma baada ya kukataa kufuta kauli yake ya kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa dhaifu na Bunge ni zembe na Upuuzi wa CCM ndivyo vimechangia mambo kuwa mabaya hivi. Mbunge huyo alitoa kauli hiyo wakati akichangia Bajeti ya serikali ya mwaka 2012/13 katika mkutano unaoendelea.
Subscribe to:
Posts (Atom)




