Wednesday, June 20, 2012

MNYIKA AFUKUZWA BUNGENI BAADA YA KUKATAA KUFUTA KAULI

Mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika akitoka katika ukumbi wa Bunge la Tanzania jana mjini Dodoma baada ya kukataa kufuta kauli yake ya kuwa Raisi  wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania kuwa dhaifu na Bunge ni zembe na Upuuzi wa CCM ndivyo vimechangia mambo kuwa mabaya hivi. Mbunge huyo alitoa kauli hiyo wakati akichangia Bajeti ya serikali ya mwaka 2012/13 katika mkutano unaoendelea.

No comments:

Post a Comment